IQNA – Kundi moja la kutetea haki za binadamu nchini Marekani limelaani shambulio la kikatili lililotokea hivi karibuni dhidi ya kanisa Katoliki nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Habari ID: 3481017 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/07/30
TEHRAN (IQNA)-Haafidh wa Qur'ani tukufu kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo amesema Wakongomani wana hamu na shauku kubwa ya kujifunza Uislamu kiasi kwamba Wakristo wa nchi hiyo wanawapeleka watoto wao madrasa ili wakasomeshwe Qur'ani.
Habari ID: 3470955 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/28